News
Hali imeendelea kuwa tete kutokana na kukatika kwa barabara ya Ifakara-Malinyi na wananchi wanaotegemea barabara hiyo ...
MOROGORO: SERIKALI ya Rais Samia Suluhu Hassan imepanga kutumia kiasi cha zaidi ya Sh bilioni 30 kukarabati barabara muhimu ...
Lundenga amefariki dunia leo Jumamosi Apili 19, 2025 katika Hospitali ya Kitengule iliyopo Tegeta jijini Dar es Salaam ...
MKUU wa Mkoa wa Morogoro, Adam Malima amehimiza watanzania kujiandaa na kushiriki uchaguzi mkuu wa mwaka 2025 bila kuwa na ...
MKUU wa Wilaya ya Kilosa mkoani Morogoro, Shaka Hamdu Shaka (kulia) akipokea Mwenge wa Uhuru kwenye makabidhiano ...
WANANCHI wa Kijiji na Kata ya Mangae Tarafa ya Mlali, wilayani Mvomero, wameanza kunufaika na mradi wa maji uliojengwa na Wakala wa Usambazaji Maji Vijijini (RUWASA), wenye thamani ya zaidi ya shiling ...
Kiongozi wa kijeshi nchinik Gabon, Brice Oligui Nguema, amepata ushindi mkubwa kufuatia uchaguzi mkuu wa rais uliofanyika mwishoni mwa juma lililopita, matokeo ya awali yakionesha amepata asilimia ...
Waziri wa Uhuishaji wa Uchumi Akazawa Ryosei aliteuliwa na Waziri Mkuu Ishiba Shigeru kuwa waziri anayeshughulikia mazungumzo ya biashara kati ya nchi hizo mbili. Uteuzi huo umekuja baada ya ...
Katika tamko lake kali zaidi hadi sasa, Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa António Guterres ametoa onyo leo kuhusu janga la kibinadamu linalozidi kuwa baya huko Gaza. Akizungumza na waandishi wa habari ...
Mkuu wa masuala ya kibinadamu wa Umoja wa Mataifa, UN amesema watu wanaokadiriwa kuwa milioni 17 nchini Myanmar huenda wameathiriwa na tetemeko kubwa la ardhi la mwezi uliopita. Anasema wanahitaji ...
Akizungumza kwa niaba ya mkuu wa mkoa huo, Mkuu wa Wilaya ya Mbarali, Kanali Maulid Surumbu amesema mpira ni sehemu ya ajira na uchumi na kuwaomba wadau wote kuchangia ili kuinusuru timu hiyo.
Myanmar sasa ni taswira ya uharibifu na kukata tamaa, Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Antonio Guterres, amewaambia waandishi wa habari leo mchana Alhamisi Aprili 3 kwa saa za New York, Marekani.
Some results have been hidden because they may be inaccessible to you
Show inaccessible results