News
Imebaki kwa watia nia wa Chadema, kuamua ni jukwaa gani la kisiasa wanaweza kulitumia ili kutimiza malengo yao ya kugombea ...
Oktoba 2025, Tanzania inatarajia kufanya uchaguzi mkuu wa madiwani, ubunge na Urais huku ndani ya Chama cha Demokrasia na ...
Viongozi wakuu wa nchi katika ujumbe wao wa Pasaka, wamezungumzia uchaguzi mkuu wa Oktoba mwaka huu, wakiwataka wananchi kujitokeza kushiriki na kuepuka vurugu.
Ingawa kuharibika mara kwa mara kwa miundombinu ya barabara kunachochewa na sababu nyingi, kukosekana udhibiti wa malori ya ...
Ikiwa imesalia takribani miezi sita Tanzania kuingia katika uchaguzi mkuu, viongozi wa dini wametoa wito kwa Serikali na ...
Yanga haitokuwa na wachezaji watano katika mechi yake ya Ligi Kuu dhidi ya Fountain Gate, kesho Jumatatu, Aprili 21 katika Uwanja wa Tanzanite Kwaraa, Babati, Manyara.
Miili ya watu sita kati ya saba waliofariki dunia katika ajali ya gari la kubebea wagonjwa lililogongana na pikipiki ya magurudumu matatu, maarufu 'Guta' inatarajiwa kuagwa kesho Jumatatu ...
Pamoja na kupata ushindi kiduchu wa bao 1-0 dhidi ya Stellenbosch ya Afrika Kusini kwenye Uwanja wa New Amaan Complex, ...
Mtume Boniface Mwamposa wa Kanisa la Inuka Uangaze ametoa wito kwa Watanzania kuliombea Taifa liwe na amani kuelekea uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba, 2025.
Mkuu wa Dayosisi ya Kaskazini ya Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Askofu Fredrick Shoo amesisitiza maridhiano ...
Askofu wa Kanisa la Anglikana Dayosisi ya Kiteto, Isaya Chambala amesema amani ya kweli haiji bila haki, huku akiwataka ...
Wapigadebe ni sehemu ya maisha ya usafiri wa umma hasa katika maeneo ya mijini, wakijikita kutangaza au kushawishi watu ...
Some results have been hidden because they may be inaccessible to you
Show inaccessible results