News
WAKATI Ligi ya Kikapu Mkoa wa Dar es Salaam (BDL), ikitangazwa kuchezwa mzunguko mmoja, huenda baadhi ya timu kongwe mfumo huo ukazifanya ziwe na wakati mgumu mara itakapoanza.
Kwa miaka zaidi ya 20 katika muziki, Jay Moe amejizolea sifa kama rapa mwenye uwezo mkubwa wa kuandika mambo ya kufikirisha ...
KAMA wewe ni shabiki wa Yanga au Simba na una tabia ya kununua tiketi siku ya mchezo pindi timu hizo zinapokutana katika ...
UNAKUMBUKA mwaka 1993 wakati Simba inacheza fainali ya Kombe la CAF ambalo baadaye 2004 likaunganishwa na Kombe la Washindi ...
Kocha wa Stellenbosch FC, Steve Barker, amesema Simba SC ni moja ya timu hatari zaidi kwenye mashindano ya Kombe la Shirikisho Afrika, akisisitiza kuwa ubora wa Wekundu wa Msimbazi hauishii ...
WAKATI mashabiki wakijiuliza kitu gani kimemkuta kiungo mkabaji mzoefu wa Yanga, Jonas Mkude aliyewahi kuwika kwa karibu ...
MIKAKATI ya kukiimarisha kikosi cha Yanga kwa ajili ya msimu ujao, imeanza mapema kwa kocha wa timu hiyo, Hamdi Miloud ...
MSHAMBULIAJI wa KMC, Daruweshi Saliboko amesema anaupenda aina ya uchezaji wa straika wa Simba, Steven Mukwala kutokana na ...
SIKU chache baada ya mshambuliaji Yusuph Athuman kutambulishwa na Yangon United ya Ligi Kuu Myanmar, uongozi wa Fountain Gate imeibuka na kuweka wazi kuwa bado ni mchezaji wao halali.
KIUNGO wa Tanzania Prisons, Haruna Chanongo amesema wana dakika 270 ngumu za maamuzi ya timu hiyo kusalia Ligi Kuu au la, ...
BAADA ya ndoto za Azam kutwaa ubingwa wa Ligi Kuu Bara msimu huu kuota mbawa, kocha Rachid Taoussi kwa sasa amehamishia nguvu ...
KOCHA wa Orlando Magic, Jamahl Mosley amekuwa kwenye NBA miaka 20, lakini hajawahi kushuhudia msimu wa ajabu kama huu ambao ...
Some results have been hidden because they may be inaccessible to you
Show inaccessible results